Thursday, August 18, 2011

Mgambo wakamatwa na Rushwa.

Kuna wadada wawili jana mida ya saa saba mchana wamekamatwa kwa kosa la kupokea Rushwa kwa moja kati ya wafanyabiashara maeneo ya stend ya Ubungo ndani. kwa kawaida wadada hao ambao nilifanikiwa kujua kwa kajina yao ya Anna n Asia walikamatwa kwa kosa lakupokea Rushwa na kusemekeana kuwa ni kawaida ya wadada hao kupokea Rushwa maeneo hayo kwa kutumia uongozi walionao wa askari Jiji.
Kupitia picha hizi utajionea nakutambua nn kilitokea maeneo hayo ya Ubungo hapo anaonekana afsa wa TAKUKURU akijaribu kuwatuliza wananchi ili wasibanye fujo aada ya kuwakamata wadada hao 
(ambao hawaonekani wamekaa kwa chini)
kama unavyojionea hapo wadada hao Asia na Anna wakiongozwa na askari kuelekea kituo cha polisi.
Ni sehemu ya watu wakiandamani kuwasindikiza watuhumiwa na wengine ni wasafiri wa mikoani wakiwa wamekatisha shughuli zao hili kushuhudia tulio hilo.
msafala uliishia hapo jamani.

No comments:

Post a Comment