Thursday, August 18, 2011

Mr Aliisi na maisha ya Music.

Moja kati ya watu ambao wamejikita kwenye Music toka Utotoni mpaka sasa na nimoja kati ya watu waliopata mafanikio makubwa katika Music jina analotumia ni Mr Aliisi na nimoja kati ya watu wanaotoa Elimu ya music katika chuo cha Music za SANAVUKA.
Mr Aliisi ni mzaliwa wa Nchini Kenya ila ni Mtanzania kwa sasa na pamoja na shughuli zake za music anazifanyia hapa Tanzania. check nae kwenye facebook (http://www.facebook.com/fredaliisi)

No comments:

Post a Comment