Dj Pirol on the 1&2 akifanya mambo yanayo wachizisha wadau wa Burudani ndani ya club V.I.P jana usiku.
Mpango mzima wa Burudani ulisimamiwa na Matonya na alitishaaa ile mbaya jombaaaa.!
Tonya!
Dj Joe,Bony Slay na Dj Pirol.
Eddo Bashiri kama anavyotambulika ni Radio presenter wa Ebony Fm akiskilizia mchakato unavyoenda usiku huo wa Burudani ndani ya club V.I.P
Abba Ngilangwa na Mr Chakudika ndani ya V.I.P
Mzuka wamashabiki.
No comments:
Post a Comment