Msanii wa Tanzania mimbaji na mtunzi wa muziki wa Bongo flava Jebby a.k.a kijukuu ameamua kujikita kwenye ujasiliamali Mkoani Iringa kwa kufungua Duka la Nguo la Aina zote maeneo ya Samora mkoani hapo.
Hapa Jebby (kushoto)akiwa na Mshkaji wake Ayoub nje ya duka hilo la Jebby Latest Wear wakiwa kwenye mazungu mzo wakati nikifanya mahojiano naye nyakati za jioni siku ya Ijumaa.
"Kwanza namshkuru Mwenyezi Mungu aliye nifanya kufikia hapa na wazazi wangu bila kuwasahau mashabiki wangu, kiukweli nimefurahia mji wa Iringa hasa hii hali ya hewa....!!!
Ninawakaribisha sana watu wote kuja kupata mavazi kwa bei nafuu na yenye ubora na yanayoendana na wakati yangu ni hayo tu.
No comments:
Post a Comment