Saturday, July 23, 2011

Baba mwenye nyumba afariki Dunia.

Jamani kama mnavyoweza faham kuwa hapa duniani hakuna atakaye dumu hii nimoja kati ya matukio yanayosikitisha na yasiyozoeleka katika jamiii yetu hususani kwa sisi waTanzania hapo unapojionea kwenye picha nileo mchana tulipokuwa tuna mzika Marehem Mr Omari (ambaye alikuwa ni baba mwenye nyumba wangu) katika maeneo ya Mlolo katika manispaa ya Iringa. Mungu ailaze roho ya marehem Peponi Milele Amina.
hapa ni katika hatua ya mwisho ya tukio hilo a maziko ya Mr Omar.

No comments:

Post a Comment