Monday, July 25, 2011

POLISI JAMII.

Anayeonekana hapo juu kwenye picha ni AFISA MNADHIMU POLISI JAMII MKOA WA IRINGA Bw: Bundara Musiba ikiwa ndani ya studio za Nuru fm asubuhi ya leo kwenye kipindi cha Sunrise Power akijaribu kuelezea Jamii na wasikilizaji wa Radio jinsi ya kuiheshimu Sheria ya Tanzania katika lile lililoitwa UTII BILA SHURUTI ikiwa ni moja ya mikakati iliyoanzishwa mkoani Arusha kwa kuwataka wana Inchi wa tanzania kufuata sheria na taratibu za kijamii.
Hapa Bw: Bundara Musiba akijibu maswali ya wasikilizaji wa Radio Nuru fm mkoani Iringa, nakutoa maelekeza na namna ambavyo Sheria inasema na kusisitiza kuhusu Utekelezaji wa mikakati hiyo ya Polisi kwa jamii na wakazi wa mkoa wa Iringa. 

No comments:

Post a Comment