Tuesday, July 26, 2011

TUMEINGILIWA JAMANI!

Nikawaida ya watu wengi sikuza week end hupendelea kwenda kutembelea sehem mbali mbali za burudani kuweza kujiburudisha na kubadilishana mawazo pamoja na marafiki zao sasa kwa week hii watu wengi wamejikuta wamekusanyia Clib V.I.P katika Usiku wa Burudani Ili kufurahi na kifanya week end yao iwe poa.
Ndipo kilipotokea kituko hiki ambacho hakika ctawahi kukisahahu ni utaratibu wa kawaida wa Club hile kama mtu umefurahishwa na burudani waweza kujiunga na wenzio katika staili moja ilikufurahi zaidi, ndipo alipojitokeza jamaa ambaye Bongo120 hakuweza kutambua jina la jamaa huyo mara moja, nakuonekana akivua chasti lake ili kupata kuonekana zaidi kuliko wote waliokuwa nadi ya club hiyo.
Hapa jamaa huyo akionekana kufurahi na kujiunga na wenzie ndani ya Club V.I.P

 Hapa jamaa huyo akionekana kwambwembwe akigeuka huku na huko ili kunogesha staili yake akifatana na wadau wengine katika kucheza nyimbo za South ambazo nimara nyingi wa2 wengi huonekana wakipendelea kucheza kwa staili moja katika Club nyingi Tanzania.
Baadhi wa wadau wengine kwenye picha wakiendelea kusakata burudani Club V.I.P Iringa
 

No comments:

Post a Comment