Hili ni pozi la bwana huju ambae jina cjulipata mara moja nikiwa nimemkuta amelala barabarani baada ya kulewa mchana na kushindwa kuondoka eneo hilo sasa jamani kwa tukio kama hili kweli mtu anaweza kukushawishi kutumia Pombe ikiwa hakuna faida zaidi ya kudhalilika?
No comments:
Post a Comment