Moja kati ya vitu ambavyo wakazi na wenyeji wa Iringa hujivunia ni kuwapo kwa Hifadhi hii ya taifa Inayofahamika kama RUAHA NATIONAL PARK Jina na sifa ya Hifadhi hii ni kutokana na kupitiwa kwa mto Ruaaha pamoja na bonde la Eneo hilo, Kumekuwa na wanyama wa kila aina katika hifadhi ya Ruaha pamoja na kuwa na sifa yakupokea wageni toka nchi nyingi Duniani kwa kuja kujionea maajabu ya Hifadhi hiyo ya RUAHA.
Eneo hili limetengwa maalum kwa ajili ya wageni wanaotembelea RUAHA ilikuweza kupumzika na kufurahia safari yao ikiwa ni pamoja na kutatiwa Huduma ya chakula Kizuri kinachotengenezwa hapo hapo, Malazi bora na usalama wako na mali zako hapo huzingatiwa kwa makini unapofika RUAHA NATIONAL PARK.
Huyu ni moja kati ya wamnaya wanaopatikana katika hifadhi hii ya RUAHA. anaitwa Simba akiwa amepumzika kwenye hifadhi hiyo ya Taifa.
KWA MAWASILIANO ZAIDI TEMBELEA MTANDAO WAO AU PIGA SIMU ZILIZOPO KWENYE IYO PICHA ILIYOPO HAPO JUU. WOTE MNAKARIBISHWA.....!!!
No comments:
Post a Comment