Thursday, July 21, 2011

Huyu ndio usher raymond wa Tanzania.

Jamaa anaitwa Aristide Rubeya ni moja kati ya jamaa wanaosemekana kuwa amefanana na Usher Raymond kwa kuonekano wa Sura.
na huyu ndio Usher Raymond mwana mziki wa Marekeni na Dencer wa miondoko ya Pop
 Hapa Aristide akiwa kwenye pozi.
 Hapa Aristide akiwa na ma fans kwenye Birthday ya  Gadner Dibibi Dar-es-salaam.
usher raymond and justin bieber 


No comments:

Post a Comment