Thursday, August 25, 2011

Watatu wakamatwa na Kete za Bangi.

Watu watatu wakamatwa na kete 108 za bangi mtaa wa tukuyu wilayani Mbozi, walikamatwa na askari mwenye namba E3843 Kikosi cha upelelezi anayeitwa Greyson na wenzake wakiwa doria.
Waliokamatwa ni Joshua Mwanange(25) mkazi wa Tukuyu, Frank Simfukwe (19) Mkazi wa Tukuyu Tunduma na Juma Charles (20) mkazi wa Tukuyu Tunduma wote kwa pamoja wamekamatwa na kete hizo zenye uzito wa kilo gramu 500.


Watuhumiwa wapo mahabusu wilayani Mbozi watafikishwa mahakamani mara baada ya upelelezoi kumilika.

No comments:

Post a Comment