Thursday, July 28, 2011

Unatambua sifa ya wabunge waliotolewa Bungeni jana?

  
Mwanasheria Mkongwe na Machachri nchini na Mbunge (Chadema)Mheshimiwa Tundu Lissu.

Hayo ni baadhi ya Matukio na video zinazoonyesha Mh: Tundu Lisu akiwa Bungeni.
Mchangji Petwr George Msigwa ambaye nae alitolewa kwenye kikao hicho cha bunge kwa lile lililosemekana kuwa ni kutokuwa na nidhamu na kudiliki kuwasa kinasa sauti pasipo na kibali toka kwa mwenye kiti wa bunge

No comments:

Post a Comment