Tuesday, February 8, 2011

SAKATA LA VYUO NI KAZI KWELI KWELI!

BAADA YA WAZIRI MKUU WA FEDHA KUZUNGUMZIA POSHO WALIYOONGEZEA KWA WANAVYUO KWA KUPITIA MKONO WA SERIKALI. CHUO CHA MKWAWA LEO WAMEGOMA BAADA YA KAULI HIYO.
Hapa wanachuo wa mkwawa wakikusanyika kufanya mgomo huo

No comments:

Post a Comment