Sunday, January 16, 2011

BADO NDANI YA MATUMAINI KUWABURUZA WASHABIKI.

Beka ni msanii mwenye umri mgodo anae sifika kwa kuteka nyoyo za watu wazima kutokana na sauti pamoja na Umahiri wake wa Utunzi wa mashairi na Hivi sasa Beka anatamba na ngoma yake kali kabisa aliyo itolea remix inayoenda kwa jina la "Natumaini remix" ambayo nafanya vizuri kwa mwaka 2011.

No comments:

Post a Comment