Hip Hop artist .Fareed Kubanda Mwite Fid Q amezungumzia faida za kuuza album kwenye mtandandao aka online na kusema kuwa si kweli kuuza album sokoni kuwa hailipi
Fid Q anauza mziki wake online na kusema kuwa kuuza sokoni na kusrma katika soko hilo linalipa ,bali inategemea bahati ya mtu tu,kwa sababu yeye kashawahi kugonga copy nyingi sokoni na ameishia kusign mara 3 na sasa hivi anajiandaa kwenda tena kugonga copy nyingine...na hizo ndizo Link ambazo unaweza kupata album ya Fid Q-Propaganda
No comments:
Post a Comment