Tuesday, March 1, 2011

Ay ndani ya India.

AY leo atakamua ndani ya BANGAROLE INDIA kwenye ukumbi wa Blue Waves kisha Jumamosi ataelekea kwenye mji mwingine wa Hyderabad ambapo atapiga show ya pili.Pichani AY akipokewa na wadau mbali mbali (watanzania wenzake) wakati alivyowasili kwenye airport ya Bangarole akitokea Nairobi Via Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment