Saturday, February 5, 2011

Dj Muba aleta utata....!!!!

Huyu ni moja kati ya maDj wakali na wanaoogopeka katika mji wa Iringa na Tanzania kwa ujumla ni kutokana na aumahiri alionao katika kuchezea mashine na kuwapagawisha mashabiki wa mziki.
 Hapa Dj Muba akiwa katika pozi.
Utata umetokana na jamaa kuonekana kushiriki kucheza na kujumuika kwa pamoja na mashabiki wa muziki hali ambayo haijazoeleka kwa baadhi ya madj waliona jina mjini! kitu ambacho kimewafanya mashabiki wake kuulizana kwamba ndiye au siye wanaomfahamu?

No comments:

Post a Comment