Tuesday, January 25, 2011

Toka juzi nilikuwa nafanya kazi hiii

hapa Ndio Shughuli ilikuwa ikianza kuelekea milimani kushoot video ya Filam itakayokuja kwa jina la "Siku moja utajua"

Hapa Mtoto wakiume nilikuwa nimeshaanza kazi niliyokuwa nimeitiwa

Huyu ndio Director wa move hiyo

Huyu anaitwa hamisi ndiye alikuwa kama zombi kwenye filam hiyo.

Huyunjamaa katika filam hiyo ameact kuwa amepikwa na kuuliwa na zombi hilo

Shughuli haikuishia hapo iliendelea mpaka usiku.


kupumzika nayo ilikuwepo


No comments:

Post a Comment