hapa Ndio Shughuli ilikuwa ikianza kuelekea milimani kushoot video ya Filam itakayokuja kwa jina la "Siku moja utajua"
Hapa Mtoto wakiume nilikuwa nimeshaanza kazi niliyokuwa nimeitiwa
Huyu ndio Director wa move hiyo
Huyu anaitwa hamisi ndiye alikuwa kama zombi kwenye filam hiyo.
Huyunjamaa katika filam hiyo ameact kuwa amepikwa na kuuliwa na zombi hilo
Shughuli haikuishia hapo iliendelea mpaka usiku.
kupumzika nayo ilikuwepo
No comments:
Post a Comment