Hapa kama unavyojionea wanachuo wa Ruaha wakifanya maandamano hayo kuelekea ofisi ya Mkuu wa Chuo iliyopo chuoni hapo
Huku baadhi ya wanachuo hao wakifuatilia mgomo huo
Hapa nilijaribu kuzungumza na Raisi wa wanafunzi akijaribu kuelezea utaratibu wa fedha hizo,Huku wanachuo hao wakiwa hawako tayari kukubaliana na mazungumzo hayo zaidi ya kusisitiza upatikanaji wa fedha hizo za mikopo
Huyu ndio Mkuu wa chuo cha Ruaha Rev.Cephas Mgimwa hapa akizungumza ukweli na kujaribu kuweka uwazi kuwa fedha hizo zimesha toka na wanachosubiri ni majina ya wahusika wa Fedha hizo.
No comments:
Post a Comment