UHABA wa Wafanyakazi na ukosefu wa vitendea kazi katika Idara ya Misitu Manispaa ya iringa, yasababisha uharibifu wa mazingira kwa wananchi wa manispaa kukata miti ovyo.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Theresia Mahongo, alipokuwa akizungumza na kituo hiki Ofisini kwake Mwishoni mwa wiki iliyopita .
Amesema kuwa idara hiyo inawafanyakazi 3 wanaotakiwa kuzunguka katika maeneo yote kutoa elimu na kuhakikisha matumizi mabaya ya mazingira hayatokei.
Mahongo amesema kuwa kumekuwa na uharibifu mkubwa katika maeneo yote yanaozunguka mto Ruaha, kwa wananchi kukata miti kwa ajili ya kuchomka mkaa na pia kuchoma tofali.
Hata hivyo amesema kuwa idara hiyo inakabiliwa na ukosefu wa vitendea kazi, hivyo humpa wakati mgumu mtumishi huyo kuweza kufanyakazi kwa wakati, na matokeo yake kutoa mwanya kwa waharibifu wakidhani kuwa hakuna sheria ya kuwabana.
Kwa upande wake Meya wa Manispaa hiyo Aman Mwamwindi, amesema kuwa umefika wakati wa kushirikiana katika kutunza mazingira na kila mtu kujituma kuhakikisha uharibifu wa mazingira hauendelea hata pale ambapo hayupo mtumishi wa serikali.
Sunday, August 28, 2011
ABUJA
Watu 20 wamefariki dunia nchini Nigeria baada ya mvua kubwa iliyonyesha nchini humo tangu Ijumaa, kusababisha bwawa moja kufurika na kuzamisha nyumba kadhaa, kusini magharibi mwa nchi hiyo.
Msemaji wa shirika linaloshughulikia majanga ya dharura nchini humo, Yushau Shuaib amethibitisha vifo hivyo, vilivyosababishwa na mafuriko katika mji wa Ibadan.
Vyombo vya habari nchini humo vimearifu kuwa maelfu ya watu wamekimbia makaazi yao, na kwa mujibu wa Shuaib, kwa sasa ni vigumu kupata idadi kamili ya watu waliyoyahama makaazi yao.
Msemaji wa shirika linaloshughulikia majanga ya dharura nchini humo, Yushau Shuaib amethibitisha vifo hivyo, vilivyosababishwa na mafuriko katika mji wa Ibadan.
Vyombo vya habari nchini humo vimearifu kuwa maelfu ya watu wamekimbia makaazi yao, na kwa mujibu wa Shuaib, kwa sasa ni vigumu kupata idadi kamili ya watu waliyoyahama makaazi yao.
Saturday, August 27, 2011
Friday, August 26, 2011
Waasi wa Libya ni Hatari.
Waasi wa Libya wadhibiti kituo cha ukaguzi mpakani na Tunisia
Wapiganaji waasi katika operesheni
Vikosi vya waasi wa Libya, vinaripotiwa kudhibiti kituo cha ukaguzi cha Ras Jdir kwenye mpaka wa Libya na Tunisia.
Vyanzo mbalimbali vya habari vimewanukuu mashahidi waliosema kuwa waasi wameudhibiti mpaka huo baada ya kupambana na wanajeshi wanaomuunga mkono kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi.
Mpaka huo upo kwenye barabara muhimu ya pwani inayotokea Tunisia hadi Tripoli nchini Libya. Mwandishi habari wa DW Martin Fletcher alie Tripoli hivi sasa, anasema waasi wanafanya kila liwezekanalo kumkamata Gaddafi. Inadhaniwa kwamba Gaddafi amekimbilia mji alikozaliwa wa Sirte.
Mji huo ulilengwa na ndege za kivita za NATO asubuhi ya hapo jana. Wakati huohuo Umoja wa Afrika umesema hautolitambua Baraza la Mpito la waasi kama chombo halali kinachowakilisha Libya, ilimradi mapigano yanaendelea nchini humo.
![]() |
| muammar gaddafi |
Vikosi vya waasi wa Libya, vinaripotiwa kudhibiti kituo cha ukaguzi cha Ras Jdir kwenye mpaka wa Libya na Tunisia.
Vyanzo mbalimbali vya habari vimewanukuu mashahidi waliosema kuwa waasi wameudhibiti mpaka huo baada ya kupambana na wanajeshi wanaomuunga mkono kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi.
Mpaka huo upo kwenye barabara muhimu ya pwani inayotokea Tunisia hadi Tripoli nchini Libya. Mwandishi habari wa DW Martin Fletcher alie Tripoli hivi sasa, anasema waasi wanafanya kila liwezekanalo kumkamata Gaddafi. Inadhaniwa kwamba Gaddafi amekimbilia mji alikozaliwa wa Sirte.
![]() |
| gaddafi bodyguards |
Mji huo ulilengwa na ndege za kivita za NATO asubuhi ya hapo jana. Wakati huohuo Umoja wa Afrika umesema hautolitambua Baraza la Mpito la waasi kama chombo halali kinachowakilisha Libya, ilimradi mapigano yanaendelea nchini humo.
Thursday, August 25, 2011
Watatu wakamatwa na Kete za Bangi.
Watu watatu wakamatwa na kete 108 za bangi mtaa wa tukuyu wilayani Mbozi, walikamatwa na askari mwenye namba E3843 Kikosi cha upelelezi anayeitwa Greyson na wenzake wakiwa doria.
Waliokamatwa ni Joshua Mwanange(25) mkazi wa Tukuyu, Frank Simfukwe (19) Mkazi wa Tukuyu Tunduma na Juma Charles (20) mkazi wa Tukuyu Tunduma wote kwa pamoja wamekamatwa na kete hizo zenye uzito wa kilo gramu 500.
Watuhumiwa wapo mahabusu wilayani Mbozi watafikishwa mahakamani mara baada ya upelelezoi kumilika.
Waliokamatwa ni Joshua Mwanange(25) mkazi wa Tukuyu, Frank Simfukwe (19) Mkazi wa Tukuyu Tunduma na Juma Charles (20) mkazi wa Tukuyu Tunduma wote kwa pamoja wamekamatwa na kete hizo zenye uzito wa kilo gramu 500.
Watuhumiwa wapo mahabusu wilayani Mbozi watafikishwa mahakamani mara baada ya upelelezoi kumilika.
Kikongwe alala na Maiti
KIKONGWE mwenye umri wa miaka 85 aliyefahamika kwa jina la Sadiki Salehe mkazi wa Ilolo kata ya Ruanda Jijini Mbeya amejikuta matatani kufuatia kulala na maiti ya mtoto wake pekee kwa siku sita.
Habari za kuaminika kutoka kijijini hapo zimesema kuwa wakati harufu hiyo ikiendelea kuzagaa eneo la nyumba yake na majirani, Kikongwe huyo alikuwa akiendelea kuandaa futari karibu na mlango wa chumba cha marehemu hasa ukizingatia huu ni mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Mtoto wa kikongwe huyo alijulikana kwa jina la Salehe Sadiki(38) kwa mara ya mwisho alionekana Jumatano ya wiki liliopita(Agosti 17, 2011).
Kikongwe huyo alipohojiwa alisema kuwa Jumatano ya Agosti 24 mwaka huu akiwa nyumbani kwake alikuwa anahitaji dishi la kuogea ambalo lilikuwa katika chumba cha marehemu ambaye alikuwa akiishi nje ya nyumba ambayo ilikuwa ikitizama na ya baba yake umbali wa meta 1.5.
Na mara baada ya kuchukua hatua ya kutaka dishi hilo ndipo alipoenda na kugonga mlango wa chumba cha marehemu na kukuta mlango ukiwa umefungwa huku harufu ikitoka kwa mbali.
Harufu hiyo ilimshtua kikongwe huyo ambaye aliamua kwenda msikiti wa Soweto uliopo Jijini Mbeya kwa Imamu Eliasa Selemani ambaye naye alimtaarifu balozi wa mtaa huo Iddi Malole kuhusu tukio hilo.
Imamu Eliasa na Balozi Malole kwa pamoja walimtaarifu Mwenyekiti wa Mtaa wa Ilolo Benson Mbwana kuhusu tukio hilo la kushangaza ambaye alimua kutoa taarifa katika kituo cha Polisi Mwanjelwa.
Kituo cha Polisi cha Mwanjelwa kilishindwa kushughulikia suala hilo ambalo lilipelekwa katika kituo cha Polisi cha Kati (CENTRAL POLICE) ambacho kiliruhusu kuzikwa kwa mwili huo ambao ulikuwa umeharibika vibaya kwa kupasuka huku Polisi ikiendelea na uchunguzi wa tukio hilo.
Wakati Polisi wakitoa amri ya kuzikwa kwa mwili huo wakazi wa mtaa huo walipandwa na hasira kufuatia tukio hilo na walisikika wakisema kuwa sio mara ya kwanza kwa mzee huyo ambaye hapo awali alimuua mkewe na kumweka uvunguni mwa kitanda kwa zaidi ya siku nne hali iliyomfanya atumikie kifungo cha zaidi ya miaka 8 jela kutokana sakata hilo.
Polisi walipoona hayo ilimuondoa mzee huyo eneo la tukio kwa nguvu ili kunusuru maisha yake.
Wakati polisi ikiondoka na mzee huyo wakazi hao walisikika wakisema mzee huyu hatakiwi kurudi tena kijijini hapo kutokana na vitendo hivyo
ATAKAYE KATISHA KATIKA UWANJA licha ya sura yake ya upole aliyonayo na kushinda msikitini.
Aidha Mwenyekiti wa mtaa huo alisema sula hilo sasa limo mikononi mwa Jeshi la Polisi hivyo watalishughulikia ipasavyo.
Sunday, August 21, 2011
Friday, August 19, 2011
anusurika kifo sababu ya Uchawi.
Nidhana potofu walizojijengea baadhi ya watanzania hususani waishio Vijijini baada yakuona mtu mwenye umri mkubwa (yaani mzee) na kuona kuwa anamacho mekundu nakukosa shughuli ya kufanya huisiwa kuwa ni wachawi, tatizo hili nikubwa kwa jamii yatu ya Tanzania kama nilivyosema hapo hawali.
Moja kati ya watu waliokumbwa na tatizo hili ni mama huyu. (anayeonekana kwenye picha)
Mwana mke huyu ni mkazi wa kijijini na mtu aliyetaka kumdhuru ni mtoto wake wakwanza kumzaa ambaye ni mwanaume anayejishughulisha na kilimo kijijini hapo kijana huyo niliyemtambua kwa jina la Mohamed.
Chakusikitisha zaidi ni kwamba mwenyekiti wakijiji hakuwa na taarifa hizo na kustushwa na tukio hilo ambalo lilitokea asubuhi na mtoto wake wakike ndiye aliyenusuru maisha ya mama huyo baada yakupiga kelele na kuwaita majirani kumnusumu mama yao.
Kisa cha mtoto huyo kutaka kumuua mama yao ni baada ya kufariki mtoto wake wakike nakuhisi kuwa mama yake ameshiriki tukio la kifo cha mtoto wake.
na hii ni video yake akiwa anajieleza mama huyo
Thursday, August 18, 2011
Vituko vya Dar.
Choo cha kupanda hicho jamni nimekikuta maeneo ya mchikichini kama unapafahamu ni karibu na jangwani nilipokuwa kwenye matembezi nikakutana na hali hiii duh! kweli duniani kuna mambo hapo kuna watu wapo mahali na kujisifia kuwa wapo Dar na hiki ndicho choo anachotumia.
Hii ni poolltable kama unavyojionea na kulipia ni kama kawaida kitambaa kimechanika kabisaaaa ni maeneo ya kigogo baada ya kutembelea nikaona watu wanacheza nami ilibidi nilipie na nisubiri watu waliokuwa wakicheza wamalize ili nami nicheze kwa gharama ya shs 200/= ya kitanzania japo halina ubora hata kidogo. hivi kweli nivituko.
Huyu kijana kama unavyomuona kwenye hii picha hapoa akiwa anamalizia kuruka ukuta baada ya kuchelewa kufika shule akaamua kuzunguka nyuma ya shule na kuruka ukuta ndipo alipokumbana na camera ya bongo120 akiwa anamalizia kuruka ukuta wa shule ambayo jina nimeliifadhi.
Mgambo wakamatwa na Rushwa.
Kuna wadada wawili jana mida ya saa saba mchana wamekamatwa kwa kosa la kupokea Rushwa kwa moja kati ya wafanyabiashara maeneo ya stend ya Ubungo ndani. kwa kawaida wadada hao ambao nilifanikiwa kujua kwa kajina yao ya Anna n Asia walikamatwa kwa kosa lakupokea Rushwa na kusemekeana kuwa ni kawaida ya wadada hao kupokea Rushwa maeneo hayo kwa kutumia uongozi walionao wa askari Jiji.
Kupitia picha hizi utajionea nakutambua nn kilitokea maeneo hayo ya Ubungo hapo anaonekana afsa wa TAKUKURU akijaribu kuwatuliza wananchi ili wasibanye fujo aada ya kuwakamata wadada hao
(ambao hawaonekani wamekaa kwa chini)
kama unavyojionea hapo wadada hao Asia na Anna wakiongozwa na askari kuelekea kituo cha polisi.
Ni sehemu ya watu wakiandamani kuwasindikiza watuhumiwa na wengine ni wasafiri wa mikoani wakiwa wamekatisha shughuli zao hili kushuhudia tulio hilo.
msafala uliishia hapo jamani.
Mr Aliisi na maisha ya Music.
Moja kati ya watu ambao wamejikita kwenye Music toka Utotoni mpaka sasa na nimoja kati ya watu waliopata mafanikio makubwa katika Music jina analotumia ni Mr Aliisi na nimoja kati ya watu wanaotoa Elimu ya music katika chuo cha Music za SANAVUKA.
Mr Aliisi ni mzaliwa wa Nchini Kenya ila ni Mtanzania kwa sasa na pamoja na shughuli zake za music anazifanyia hapa Tanzania. check nae kwenye facebook (http://www.facebook.com/fredaliisi)
Sunday, August 14, 2011
Thursday, August 11, 2011
Kondakta apigana na abiria.
Tukio hili limetokea maeneo ya Kituo cha mwenge baada ya Kondata kubishana kwa muda mrefu na abiria huyo ambao wote kwa pamoja majina yao hayakuapatikana kiurahisi ila chanzo cha ugomvi huo ni baada ya abiria huyo kugoma kulipa nauli kwa kigezo ya kwamba basi hilo halijamfikisha mahali alipokuwa anaelekea ndipo ulipozuka ugomzi mkubwa ndani ya gari hilo lenye nambari za usajiri T 733 ADW Inayofanya safari zake za TEMEKE na MWENGE.
Hapa kama unavyojionea kwenye picha Abiria huyo akiwa amezidiwa na Kondakta kwa pokea kipigo kikali huku dereva akiwa ndani ya gari hiyo na asizungumze wala kujishughulisha na jambo lolote ndani ya gari heva kuwa iyo huku ugomvi huo ukiwa unaendelea jambo ambalo lili wafanya watuwengi wamshangae na kumuona ni mtu watofauti sana Baada ya mapambano makali ndipo watu walipo,shauri derereva kuwa anapaswa awashe gari na kuwapeleka kitio cha Polisi.
Wednesday, August 10, 2011
Safari yangu ya Dar! (picture)
Jamaa huyu nimemkuta amelala maeneo ya Round about ya shule ya Uhuru akiwa amelala mida ya saa 12:45 mchana huku akiwa haelewi kinachoendelea wala kugundua kama kumekucha. Jengo unaloliona hapo juu ni ngao kubwa na yenye kuonyesha saa ya jiji kwa maeneo hayo ya njia panda ya kuelekea Kamata,Kariakoo Mnazi mmoja,Muhimbili, na Karume. Jamani vijana tukomaeni katika kujishughulisha na kazi mbali mbali ili kuepuka haya mazingira ya namna hii.
Jamani hapo ni maeneo ya Kigamboni nimji wenye sifa ya peke yake na kama unavyojionea huyo nao ni moja ya vijana wanaopenda kujishughulisha na biashara na hapo anauza hao ni samaki aina tofauti kidogo na wengi hupendelea kuwaita Pweza na hapo wapo mchanganyiko na dagaa kamba. wanaouzwa kwa vipande na watuwengi wakiwa wanapendelea kupata burudani ya samaki hao
Monday, August 8, 2011
Roma azungumzia Video zake.
"video ya tanzania ilitoka.....thn mr president nilishindwa kuitoa kwa sababu ya nje ya uwezo wangu/wetu.... pastor nayo ilileta matatizo so sikuweza kufanya video....mechi za ugenini video yake imeshatoka na ina kama mwezi hivi kitaani na zaidi...mathematics nimetoa audio hata miezi 2 bado haijaisha so video yake itakuja....am nat sure kwa hili bt a thnk ngoma zangu ni ngumu sana kuzifanyia video kibongo bongo so disapointing"
![]() |
| Roma Mkatoliki. |
"video ya tanzania ilitoka.....thn mr president nilishindwa kuitoa kwa sababu ya nje ya uwezo wangu/wetu.... pastor nayo ilileta matatizo so sikuweza kufanya video....mechi za ugenini video yake imeshatoka na ina kama mwezi hivi kitaani na zaidi...mathematics nimetoa audio hata miezi 2 bado haijaisha so video yake itakuja....am nat sure kwa hili bt a thnk ngoma zangu ni ngumu sana kuzifanyia video kibongo bongo so disapointing"
Kanye West anasema watu kuangalia saa yake 'kama Hitler'
![]() |
| Kanye West |
The 34-year-old rapper known for his outbursts was the headline act at the Big Chill music festival Saturday night, where he ranted in the middle of his set about being misunderstood and underappreciated.
"I walk through the hotel and I walk down the street, and people look at me like I'm (expletive) insane, like I'm Hitler," he said. "One day the light will shine through and one day people will understand everything I ever did."
West received light boos from the crowd as a result.
The performer also defended the music video for his song "Monster," which features cannibalism and girls hanging from their necks.
"Who saw the video before it got banned, before they took it down and before women's groups starting saying that a person that lost the most important woman in his life is now against women in some way?" asked West, referring to the 2007 death of his mother Donda West.
West, who started his set roughly 30-minutes late, apologized to the crowd for his tardiness, saying he needed to make sure his performance was great.
"Michael Jordan changed so much in basketball, he took his power to make a difference. It's so much (expletive) going on in music right now and somebody has to make a (expletive) difference," he said.The multiplatinum-seller is known for his outspokenness, most notably his diss toward Taylor Swift at the 2009 MTV Video Music Awards, where he grabbed the microphone from her as she accepted the award for best female video and said Beyonce should have won it. In 2005 he said "George Bush doesn't care about black people" during a Hurricane Katrina telethon.
At the music festival, West talked about some of his awards show drama, saying some of his sponsorships were canceled as a result.
But West closed his show on a positive note by paying tribute to Amy Winehouse.
West, who said he met the late singer a few years ago during Paris fashion week, played snippets of Winehouse's "Tears Dry On Their Own" and "Back to Black." He said it was "beautiful" to meet the performer and that she was "amazing."
Then, in Kanye fashion, he began to rant.
"Thank you for protecting your artists that are still here," he said to the crowd. "This is for McQueen, for Amy, for Michael and for all the media, can you lighten up on all your artists that are still here?" he asked, receiving a roaring cheer from the crowd and leaving the stage with his 3-man band and 20-something backup dancers.
Friday, August 5, 2011
Machozi ndani ya kaburi.
Mtoto mchanga wa kike wa nchini Brazili aliyetangazwa amefariki punde baada ya kuzaliwa aliangua kilio wakati anatumbukizwa ndani ya kaburi lakini alifariki baada ya kuokolewa na kufikishwa hospital
Mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 14 ambaye alikuwa na ujauzito wa miezi saba alijifungua mapema hospitalini kabla ya muda wake.
Lakini madaktari wa hospitali ya Santa Casa de Misericord katika mji wa Araxa walitoa taarifa muda mfupi baadae wakimwambia kuwa mtoto wa kike aliyejifungua alikuwa amefariki.
Taarifa ya madaktari ilionyesha kuwa mtoto huyo alifariki wakati wa kuzaliwa.
Wakati maandalizi ya mazishi yalipokamilika na maiti ya mtoto ilipokuwa ikiingizwa kaburini, mtoto huyo aliangua kilio hali iliyowashtua watu na kugundua kuwa mtoto huyo kumbe alikuwa hajafariki.
Kichanga hicho kiliwahishwa kwenye hospitali nyingine tofauti na kulazwa kwenye chumba cha watu mahututi.
Haukupita muda mrefu taarifa ilitolewa kwamba mtoto huyo amefariki dunia.
"Amefariki dunia baada ya ogani zake muhimu kushindwa kufanya kazi kutokana na ukosefu wa oxygen kwenye damu", alisema msemaji wa hospitali aliyokuwa amelazwa mtoto huyo.
Uchunguzi wa polisi umeanza kuhusiana na kifo cha mtoto huyo.
Lakini madaktari wa hospitali ya Santa Casa de Misericord katika mji wa Araxa walitoa taarifa muda mfupi baadae wakimwambia kuwa mtoto wa kike aliyejifungua alikuwa amefariki.
Taarifa ya madaktari ilionyesha kuwa mtoto huyo alifariki wakati wa kuzaliwa.
Wakati maandalizi ya mazishi yalipokamilika na maiti ya mtoto ilipokuwa ikiingizwa kaburini, mtoto huyo aliangua kilio hali iliyowashtua watu na kugundua kuwa mtoto huyo kumbe alikuwa hajafariki.
Kichanga hicho kiliwahishwa kwenye hospitali nyingine tofauti na kulazwa kwenye chumba cha watu mahututi.
Haukupita muda mrefu taarifa ilitolewa kwamba mtoto huyo amefariki dunia.
"Amefariki dunia baada ya ogani zake muhimu kushindwa kufanya kazi kutokana na ukosefu wa oxygen kwenye damu", alisema msemaji wa hospitali aliyokuwa amelazwa mtoto huyo.
Uchunguzi wa polisi umeanza kuhusiana na kifo cha mtoto huyo.
Thursday, August 4, 2011
Kesi hii ni utata kwa Misri.
Kesi dhidi ya kiongozi wa zamani wa Misri, Hosni Mubarak, ni aibu kwake na chama chake. Waziri wa zamani wa mambo ya ndani, Habib al Adly, pamoja na maafisa wengine sita wa serikali ya Mubarak wamepandishwa kizimbani
Kuliandikiwa historia jana nchini Misri. Kwa mara kwanza katika historia ya taifa hilo kiongozi aliyeondolewa madarakani alilazimika kukabiliana na aibu ya kufikishwa katika mahakama ya nchi yake hadharani, tena mbele ya wananchi wake! Hosni Mubarak ambaye kwa miaka 30 aliingoza Misri kama kiongozi aliyekuwa akipitisha maamuzi kuhusu mustakabali wa nchi hiyo, alisimama kizimbani, au kwa maneno sahihi, alilala kizimbani. Rais huyo wa zamani alifikishwa mahakamani akiwa kwenye machela pamoja na wanawe wawili wa kiume na waziri wake wa zamani wa mambo ya ndani, Habid al Adly, na maafisa wengine wa serikali yake.
Picha za aina hiyo nchini Misri sio jambo geni kwani zimekuwa zikionekana wakati magaidi au wapinzani wa serikali wanapofikishwa mahakamani. Zimeshaonekana pia picha za wafuasi wa chama cha Udugu wa kiislamu na wafuasi wa upinzani unaopigania demokrasia nchini Misri. Kwa miaka mingi walifuatiliwa na kukamindamizwa na maafisa wa usalama wa utawala wa Mubarak.
Lakini sasa mambo yamemgeukia mwenyewe Mubarak! Amelazimika kusimama mbele ya majaji na umma. Hata hivyo, kesi hii haihusiani na hatua ya kulipiza kisasi, bali haki kwa wahanga wa maandamano ya mapinduzi ambao waliuwawa au kujeruhiwa kufuatia amri ya rais Mubarak. Inahusu haki kwa Wamisri ambao kwa miongo mingi wamekuwa wakizuiliwa kushiriki kikamilifu katika mchakato wa kisiasa nchini mwao.
Aibu kutokana na kesi hii iliyofanyika hadharani inawapata moja kwa moja Mubarak na wanawe pamoja na wafuasi wa chama chake. Wengine wengi wenye hatia na walionufaika kutokanana utawala wa Mubarak wanasubiri kufikishwa pia mahakamani. Kwa sasa ni bayana kwamba wengi wao, ambao wanabeba dhamana kwa makosa yaliyotokea, hawatafikishwa mahakamani. Kwa mfano, wanajeshi ambao kwa miongo kadhaa waliweza kumuunga mkono na kumlinda Mubarak na kunufaika kutokana na utawala wake. Sasa wako katika madaraka na hakuna ajuaye ikiwa kweli watakabidhi madaraka kwa serikali itakayochaguliwa kwa njia ya demokrasia.
Kufuatia siku ya kihistoria ya jana nchini Misri viongozi wa nchi na serikali za mataifa ya magharibi wanapaswa kutafakari ikiwa haikuwa pia siku ya aibu kwao.
Wednesday, August 3, 2011
Tuesday, August 2, 2011
Furaha afunguka na Pnc
Mwana dada anaye julikana kama Ludakey Dominic a.k.a Furaha katika Music wa kizazi kipya toka Nyanda za juu kusini, Baada ya kumute kwa mudah! mrefu sasa amekuja kwa ujio mpya baada ya kufanya kati yake mpya inayokwenda kwa jina la " Juu yako" akimshirikisha mtaalam wa kulilia viburudisho maarufu kama P.N.C
![]() |
| Furaha |
Furaha alipozungumza na Bongo120 alisema kwamba yupo kwenye maandalizi ya kufanya video ya ngoma hiyo na kuongezea kuwa tatizo lililokuwa limejitokeza hapo awalilililosababisha ukimya wake ni kubanwa na masomo yake ya chuo kikuu
| P.N.C |
Nje ya hayo furaha alifunguka nakusema kuwa ngoma yake hiyi imefanyika katika studi za "TIMAMU RECORD`S" Iliyopo Iringa na Producer aliyefanya ngoma hiyo ni " Isiaka Mc" ambaye ni Producer & Radio Presenter at the same time.
![]() |
| Producer Isiaka Mc |
ILI KUPATA NYIMBO YA "JUU YANGU" (Angalia upande wakulia kwenye new bongo flava ili kudownload.
Bei ya mafuta ni tishio la Inchi ya Tanzania.
![]() |
| Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Haruna Masebu |
Baada ya inchi yetu kuwa matatani kutokana na Gharama za mafuta kupanda Mh: Masebu Watanzania tunatarajia leo utatoa tamko kuhusu bei za mafuta kama ulivyozungumza hapo awali yakwamba "Itakapo fikia tarehe 1 Agust basi bei ya mafuta ya Petrol na diesel itakuwa imepunguwa ukilinga nisha na gharama ya mafuta yataaa itatakwa kupanda kidogo ili kudhibiti uchakachuaji unaofanywa na baadhi ya wamiliki wa vituo vya mafuta hapa inchini" Watanzania wakiwa kwenye kusubiri kauli hiyo siku ya leo huku wakiendelea kutafakari matumizi ya mafuta hayo ni wakinanani walengwa haswa huku wakiangalia wakazi wengi waishio vijijini nini hatma yao.
![]() |
| Hizi ndizo bei za mafuta kwa sasa. |
Mke auwawa na mumewe.
MKAZI wa Kijiji cha Namikango Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi, Aisha Philipo (28) amekufa, baada ya kunyongwa na mumewe katika ugomvi wa kugombea fedha zilizotokana na mauzo ya ufuta waliovuna kutoka shambani mwao msimu wa kilimo mwaka huu.
Habari kutoka wilayani humo na kuthibitishwa na vyombo vya Dola akiwemo Kamanda wa Polisi wa Mkoa, zinaeleza kuwa mwanamke huyo ameuawa, Ijumaa wiki iliyopita saa 12 jioni.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa, Sifuel Shirima alimtaja mwanamume huyo kuwa ni Hamidu Malibiche (31) ambaye pia ni mkulima na mkazi wa kijiji hicho cha Namikango.
Kamanda Shirima alisema siku ya tukio, mchana wanandoa hao waliuza ufuta wao na kujipatia Sh 90,000 alizokabidhiwa Aisha kuzitunza.
Alisema, ilipofika saa 12 jioni, mume alirudi nyumbani na kumuomba mke wake ampatie fedha hizo kwa malengo ya kuzitumia kinyume cha makubaliano, kitendo ambacho kilikataliwa na mwanamke huyo.
Akasema kitendo cha mwanamke huyo kukataa kuzitoa fedha hizo, kilisababisha ugomvi mkubwa hali iliyomfanya mwanamume huyo kumnyonga mkewe hadi kufa.
“Baada ya kitendo hicho cha mauaji, mtuhumiwa alijaribu kukimbia, lakini wananchi walifanikiwa kumkamata na kumfikisha Kituo cha Polisi,” alisema Kamanda Shirima.
Kamanda huyo alisema, mtuhumiwa kwa sasa anashikiliwa Kituo cha Polisi Wilaya ya Nachingwea na anatarajiwa kufikishwa mahakamani baada ya kukamilika kwa taratibu zikiwemo za upelelezi.
Hii sasa 2 much!!!
Jamani tukubali tukatae ifike hatua wa Tanzania tuambizane ukweli kutokana na matukio haya inaonyesha wazi kabisa HAKUNA FAIDA YA POME katika mwili wa binaadam yeyote yule na mara kwa mara huishia kukudharirisha na kukufasha upoteze sifa na heshima uliyo nayo hapo hawali.
Nilkipokwa kwenye matembezi yangu leo ndipo nilipokutana na bwana huyu anayeonekana kwenye picha hiyo hapo chini bada yakuona kuwa ameshindwa kuendelea na safari nakuona bora akae barabarani na kujilaza kwa mara kw akuona kuwa yupo sahihi.
Nilkipokwa kwenye matembezi yangu leo ndipo nilipokutana na bwana huyu anayeonekana kwenye picha hiyo hapo chini bada yakuona kuwa ameshindwa kuendelea na safari nakuona bora akae barabarani na kujilaza kwa mara kw akuona kuwa yupo sahihi.
Monday, August 1, 2011
BIASHARA
WADAU TV HII INAUZWA KWA BEI NAFUUU KABISAAA...! WASILIANA NASI KWA SIMU NUMBER
0712 627099,0767 627099
PAMOJA NA SIMU AINA YA SAMSUNG KWA GHARAMA NAFUU NA HAINA TATIZO LOLOTE PAMOJA NA RISIT
Subscribe to:
Posts (Atom)















